// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MANCHESTER UNITED YAILAZA FULHAM 1-0 DAKIKA YA MWISHO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMANCHESTER UNITED YAILAZA FULHAM 1-0 DAKIKA YA MWISHO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MANCHESTER UNITED YAILAZA FULHAM 1-0 DAKIKA YA MWISHO
BAO la dakika ya 90 na ushei la nyota Mreno, Bruno Fernandes limeipa Manchester United ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Craven Cottage Jijini London. Kwa ushindi huo, Manchester United inafikisha pointi 18 na kusogea nafasi ya saba, wakati Fulham inabaki na pointi zake 12 nafasi ya 12 baada ya wote kucheza mechi 11.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment