// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
KAGERA SUGAR YAAMBULIA SARE TU KWA KMC 1-1 KAITABA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEKAGERA SUGAR YAAMBULIA SARE TU KWA KMC 1-1 KAITABA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
KAGERA SUGAR YAAMBULIA SARE TU KWA KMC 1-1 KAITABA
WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Kagera Sugar walitangulia na bao la beki wake Mganda, Deus Bukenya dakika ya 49, kabla ya mshambuliaji Waziri Junior Shentembo kuisawazishia KMC dakika ya 74. Kwa matokeo hayo, KMC inafikisha pointi 16 na kupanda nafasi ya nne, wakati Kagera Sugar sasa ina jumla ya pointi 13 na inasogea nafasi ya saba baada ya wote kucheza mechi 10.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment