KAGERA SUGAR YAWAKANDA TANZANIA PRISONS 2-1 KAITABA
WENYEJI, Kagera Sugar wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Mabao ya Kagera Sugar yamefungwa na Obrey Chirwa kwa penalti dakika ya 20 na Cleophace Mkandala dakika ya 68, wakati bao pekee la Tanzania Prisons limefungwa na Khamis Mcha 'Vialli' dakika ya 72. Kwa ushindi huo, Kagera Sugar inafikisha pointi 12 na kusogea nafasi ya saba, wakati Tanzania Prisons inabaki na pointi zake saba nafasi ya 14 katika ligi ya timu 16 baada ya wote kucheza mechi tisa.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment