// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENAL YAWAKANDA BURNLEY 3-1 NA KURUDI KWENYE ‘ANGA ZA UBINGWA’ - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENAL YAWAKANDA BURNLEY 3-1 NA KURUDI KWENYE ‘ANGA ZA UBINGWA’ - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ARSENAL YAWAKANDA BURNLEY 3-1 NA KURUDI KWENYE ‘ANGA ZA UBINGWA’
TIMU ya Arsenal imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates Jijini London. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Leandro Trossard dakika ya 45 na ushei, William Saliba dakika ya 57 na Oleksandr Zinchenko dakika ya 74, wakati la kufuatia machozi la Burnley limefungwa na Josh Brownhill dakika ya 54. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 27 katika mchezo wa 12 na kusogea nafasi ya pili ikizidiwa tu wastani wa mabao na mabingwa watetezi, Manchester City ambao wamecheza mechi 11, wakati Burnley inabaki na pointi zake nne za mechi 12 nafasi ya 19.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment