// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SINGIDA BIG STARS YAAMBULIA SARE KWA IHEFU SC 2-2 LITI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESINGIDA BIG STARS YAAMBULIA SARE KWA IHEFU SC 2-2 LITI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
SINGIDA BIG STARS YAAMBULIA SARE KWA IHEFU SC 2-2 LITI
WENYEJI, Singida Big Stars wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI mjini Singida. Mabao yote ya Singida Big Stars yamefungwa na Habib Haji Kyombo dakika ya 31 na 40, wakati ya Ihefu SC yamefungwa na Ismail Mgunda dakika ya 26 na Jaffary Kibaya dakika ya 70. Kwa matokeo hayo Singida Big Stars inafikisha pointi tisa na kusogea nafasi ya tisa, wakati Ihefu SC inafikisha pointi nane na kusogea nafasi ya tisa baada ya wote kucheza mechi nane
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment