// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AZAM FC YAMALIZIA HASIRA KWA MASHUJAA, YAWATANDIKA 3-0 KIGOMA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAZAM FC YAMALIZIA HASIRA KWA MASHUJAA, YAWATANDIKA 3-0 KIGOMA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AZAM FC YAMALIZIA HASIRA KWA MASHUJAA, YAWATANDIKA 3-0 KIGOMA
TIMU ya Azam FC imezinduka na kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. Mabao ya Azam FC leo yamefungwa na viungo Muivory Coast, Kipre Junior dakika ya 52, Mguinea Gibrill Sillah dakika ya 70 mshambuliaji Msenegal, Alassane Diao dakika ya 73. Ushindi huo unaokuja baada ya vipigo viwili kutoka Yanga 3-2 na Namungo FC 3-1 unaifanya Azam FC ifikishe pointi 16 na kurejea nafasi ya tatu, wakati Mashujaa inabaki na pointi zake nane na kushukia nafasi ya 10 baada ya wote kucheza mechi nane.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment