// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); COASTAL UNION YALAZIMISHWA SARE 0-0 NA NAMUNGO FC MKWAKWANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE COASTAL UNION YALAZIMISHWA SARE 0-0 NA NAMUNGO FC MKWAKWANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, November 01, 2023

    COASTAL UNION YALAZIMISHWA SARE 0-0 NA NAMUNGO FC MKWAKWANI


    WENYEJI, Coastal Unión wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.
    Matokeo hayo yanaifanya Coastal Unión ifikishe pointi saba na kusogea nafasi ya 13, Sawa na Namungo FC inayosogea nafasi ya 12 kwa wastani wa mabao baada ya wote kucheza mechi nane.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: COASTAL UNION YALAZIMISHWA SARE 0-0 NA NAMUNGO FC MKWAKWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top