// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENAL YAPOZA MACHUNGU, YAICHAPA SEVILLA 2-0 ULAYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENAL YAPOZA MACHUNGU, YAICHAPA SEVILLA 2-0 ULAYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ARSENAL YAPOZA MACHUNGU, YAICHAPA SEVILLA 2-0 ULAYA
KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta jana alikuwa mwenye furaha baada ya timu yake kuweka kando machungu ya kichapo cha 1-0 kutoka Newcastle United Jumamosi katika Ligi Kuu ya England na kuilaza Sevilla 2-0. Mabao ya Arsenal jana yamefungwa Leandro Trossard dakika ya 29 na Bukayo Saka dakika ya 64 Uwanja wa Emirates Jijini London kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Matokeo hayo yanaiweka Arsenal kileleni mwa Kundi B ikiwa na pointi tisa, ikifuatiwa naPSV na Lens zenye pointi tano kila moja, wakati Sevilla inaendelea kushika mkiani baada ya wote kucheza mechi nne.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment