SIMBA SC WAANZIA GYM MAANDALIZI DHIDI YA ASEC NOVEMBA 25
WACHEZAJI wa Simba SC wakiwa mazoezini Gym baada ya mapumziko ya siku kadhaa kufuatia kuambulia pointi moja kwenye mechi mbili zilizopita za Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, wakifungwa 5-1 na Yanga Novemba 5 na sare ya 1-1 na Namungo FC Novemba 9 Jijini Dar es Salaam. Simba watarejea uwanjani Novemba 25 kumenyana na ASEC Mimosas ya Ivory Coast katika mchezo wa kwanza wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam. PICHA: WACHEZAJI WA SIMBA WAKIFANYA MAZOEZI YA GYM
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment