// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
LUIS DIAZ AINUSURU LIVERPOOL KUPIGWA NA LUTON TOWN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINELUIS DIAZ AINUSURU LIVERPOOL KUPIGWA NA LUTON TOWN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
LUIS DIAZ AINUSURU LIVERPOOL KUPIGWA NA LUTON TOWN
WENYEJI, Luton Town wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Kenilworth Road mjini Luton, Bedfordshire. Tahith Chong alianza kuifungia Luton Town dakika ya 80, kabla ya Luis Diaz kutokea benchi na kuisawazishia Liverpool dakika ya 90 na ushei. Kwa matokeo hayo, Liverpool inafikisha pointi 24 na kusogea nafasi ya tatu, wakati Luton Town imefikisha pointi sita na kusogea nafasi ya 17 baada ya wote kucheza mechi 11.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment