// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN UNITED YATEMESHWA CARABAO CUP KWA KICHAPO CHA 3-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN UNITED YATEMESHWA CARABAO CUP KWA KICHAPO CHA 3-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN UNITED YATEMESHWA CARABAO CUP KWA KICHAPO CHA 3-0
MABINGWA watetezi, Manchester United wametolewa kwenye Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Newcastle United katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora usiku wa Jumatano Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Mabao yaliyoipeleka Newcastle United Robo Fainali yamefungwa na Miguel Almiron dakika ya 28, Lewis Hill dakika ya 36 na Joe Willock dakika ya 60.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment