// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
JKT TANZANIA YAAMBULIA SARE KWA IHEFU SC 1-1 CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEJKT TANZANIA YAAMBULIA SARE KWA IHEFU SC 1-1 CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
JKT TANZANIA YAAMBULIA SARE KWA IHEFU SC 1-1 CHAMAZI
TIMU ya JKT Tanzania imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Kiungo Said Hamisi Ndemla alianza kuifungia JKT Tanzania dakika ya 14, kabla ya mshambuliaji Ismail Mgunda kuisawazishia Ihefu SC dakika mbili baadaye. Kwa sare hiyo, JKT Tanzania inafikisha pointi 15 na kusogea nafasi ya saba, wakati Ihefu SC imetimiza pointi tisa katika nafasi ya 13 baada ya wote kucheza mechi 11.
Asante Kotoko land rising star Saaka Dauda
-
Asante Kotoko have bolstered their attacking options by signing promising
forward Saaka Dauda from fellow Ghana Premier League side Bofoakwa Tano
ahead of ...
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment