// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA YASHUSHA WINGA KUTOKA ASEC MIMOSAS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA YASHUSHA WINGA KUTOKA ASEC MIMOSAS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, July 07, 2023

    SIMBA YASHUSHA WINGA KUTOKA ASEC MIMOSAS


    KLABU ya Simba imeendelea kujiimarisha kuelekea msimu ujao kwa kumsajili winga wa kushoto, Aubin Kramo Kouamé kutoka klabu ya ASEC Mimosa ya kwao, Ivory Coast.
    Aubin Kramo Kouamé (27) anakuwa mchezaji wa pili tu mpya baada ya mshambuliaji Mcameroon, Leandre Essomba Willy Onana kutoka Rayon Sport ya Rwanda.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA YASHUSHA WINGA KUTOKA ASEC MIMOSAS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top