// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
YANGA YASHINDA 10-0 MECHI YA KIRAFIKI KIGAMBONI LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEYANGA YASHINDA 10-0 MECHI YA KIRAFIKI KIGAMBONI LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
YANGA YASHINDA 10-0 MECHI YA KIRAFIKI KIGAMBONI LEO
MABINGWA wa Tanzania, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 10-0 dhidi ya timu ya Magereza katika nchezo wa kirafiki kwenye kambi yake ya kujiandaa na msimu huko Avic Town, Kigamboni Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Yanga leo yamefungwa na Kennedy Musonda na Clement Mzize kila mmoja matatu, Pacôme Zouzoua, Skudu Mahlatsi Makudubela, Stephane Aziz Ki na Maxi Mpia Nzengeli. Huo ni mchezo wa pili tu wa kujipima kwa Yanga baada ya Julai 22 kuibuka na ushindi wa 1-0, bao la Musonda dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment