• HABARI MPYA

    Friday, July 28, 2023

    EDWARD CHARLES MANYAMA BAADA YA MATIBABU TUNISIA


    BEKI wa kushoto wa Azam FC, Edward Charles Manyama akiwa amefungwa kinga mkononi baada ya kuumia juzi kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji, Club Tunisien nchini iTunisia ambako klabu yake imeweka kambi ya kujiandaa na msimu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: EDWARD CHARLES MANYAMA BAADA YA MATIBABU TUNISIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top