KLABU ya Namungo FC imemtambulisha Mrundi, Cedric Kaze kuwa kocha wake Mkuu kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara. Kaze anajiunga na Namungo FC ya Ruangwa mkoani Lindi baada ya kufanya kasi Yanga kwa awamu mbili, kwanza kama Kocha Mkuu na baadaye Kocha Msaidizi hadi msimu uliopita.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment