NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amejiunga na klabu ya Paok FC ya Ugiriki kutoka Fenerbahçe ya Uturuki baada ya misimu miwili ya kucheza kwa mkopo Ubelgiji. Samatta aliyeibukia African Lyon mwaka 2008 kabla ya kwenda Simba 2010 ambayo ilimuuza TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) mwaka 2011. Alicheza Mazembe kwa mafanikio hadi mwaka 2016 alipouzwa KRC Genk ya Ubelgiji ambako pia Januari mwaka 2020 aliuzwa Aston Villa ya England ambako Septemba alitolewa kwa mkopo Fenerbahçe. Julai mwaka 2021 akasaini mkataba wa miaka minne kujiunga moja kwa moja na Fenerbahçe ambako pia mambo hayakumuendea vizuri akapelekwa kwa mkopo Ubelgiji, kwanza Royal Antwerp mwaka 2021 na baadaye akarejea Genk kuanzia 2022.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment