Taarifa ya Azam FC leo imesema; “Tumefikia makubaliano na klabu ya Yanga ya kumnunua, mchezaji kiraka, Bangala na amesaini mkataba wa miaka miwili baada ya kufuzu vipimo vya afya,”.
YANGA YAMUUZA BANGALA KWA AZAM FC, ASAINI MIAKA MIWILI
Taarifa ya Azam FC leo imesema; “Tumefikia makubaliano na klabu ya Yanga ya kumnunua, mchezaji kiraka, Bangala na amesaini mkataba wa miaka miwili baada ya kufuzu vipimo vya afya,”.
0 comments:
Post a Comment