JEZI mpya tano za Simba SC zilizozinduliwa leo kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro zikiwa na majina ya viongozi wakuu wanne wa nchi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Makamu wake, Dk. Philip Mpango, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Dk. Tukia Ackson na Rais wa Heshima wa klabu hiyo, Mohamed ‘Mo Dewji’.
PICHA: UZINDUZI WA JEZI ZA SIMBA MLIMA KILIMANJARO LEO
0 comments:
Post a Comment