• HABARI MPYA

    Wednesday, July 19, 2023

    KOCHA MPYA YANGA AJITOKEZA KWENYE KUCHANGIA DAMU MLOGANZILA


    RAIS wa Yanga SC, Hersi Ally Said (kushoto) na Kocha Mkuu, Muargentina Miguel Angel Gamondi wamewatembelea wapenzi wa klabu hiyo waliojitokeza kuchangia damu katika hospitali ya Mloganzila Jijini Dar es Salaam kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi Jumamosi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA MPYA YANGA AJITOKEZA KWENYE KUCHANGIA DAMU MLOGANZILA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top