• HABARI MPYA

    Thursday, July 13, 2023

    FREDDY FELIX MINZIRO AREJEA TANZANIA PRISONS


    KLABU ya Tanzania Prisons ya Mbeya imemtambulisha Freddy Félix Minziro kuwa kocha wake mpya Mkuu kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Geita Gold.
    Freddy Félix Minziro, beki wa zamani wa Yanga, kutua Tanzania Prisons ni sawa na kurejea nyumbani, kwani ni klabu ambayo aliifundisha mara kadhaa kuanzia miaka ya 1990.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FREDDY FELIX MINZIRO AREJEA TANZANIA PRISONS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top