WACHEZAJI na Maafisa wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini katika picha ya pamoja na viongozi wa Yanga baada ya mazoezi yao leo jioni Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Timu hizo zitamenyana kesho hapo hapo Uwanja wa Mkapa katika kilele cha Wiki ya Mwananchi.
0 comments:
Post a Comment