KLABU ya Geita Gold imemuajiri Mzanzibari, Hemed Suleiman ‘Morocco’ kuwa kocha wake mpya Mkuu akichukua nafasi ya Freddy Félix Minziro aliyehamia Tanzania Prisons ya Mbeya.
Katika hatua nyingine, Geita Gold wametoka programu yao ya maandalizi ya msimu mpya ambayo yanahusisha ziara ya mechi za kirafiki nchini Rwanda.
0 comments:
Post a Comment