KLABU ya West Armenia FC ya is an Armenia imesajili wachezaji wawili wa Tanzania kiungo Erick Edson Mwijage kutoka Kagera Sugar na mshambuliaji Yusuph Athumani Shaaban kutoka Yanga SC.
Klabu ya mjini Yerevan inajipanga kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Armenia na sasa inaimarisha kikosi chake kwa kusajili nyota wapya kutoka nchi tofauti.
0 comments:
Post a Comment