// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
BENKI YA CRDB YASAINI KUWA MSHIRIKA MKUU WA WIKI YA MWANANCHI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEBENKI YA CRDB YASAINI KUWA MSHIRIKA MKUU WA WIKI YA MWANANCHI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BENKI YA CRDB YASAINI KUWA MSHIRIKA MKUU WA WIKI YA MWANANCHI
BENKI ya CRDB imeingia makubaliano na klabu ya Yanga kuwa mshirika wake rasmi kwenye tamasha lake la Wiki ya Mwananchi ambalo kilele chake kitakuwa Julai 22 siku ambayo timu hiyo itamenyana na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Wiki hiyo Mwananchi itazinduliwa rasmi Julai 15 Jijini Mwanza ikipambwa na matukio mbalimbali ikiwemo burudani na kuanzia leo benki ya CRDB itakuwa ikiandikisha wanachama wa klabu hiyo.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment