KOPUNOVIC ALIYEWAHI KUINOA SIMBA SC ATUA TABORA UNITED
ALIYEWAHI kuwa kocha wa Simba SC, Mserbia Goran Kopunovic amejiunga na klabu ya Tabora United ya Tabora iliyopanda Ligi Kuu ya NBC kama Kitayosce FC. Goran Kopunovic (56) ni kocha mwenye uzoefu aliyeanzia kwenye kucheza kama mshambuliaji nyumbani kwao, Serbia kabla ya kuja Afrika ambako amefundisha timu za Polisi ya Rwanda katí ya 2010 na 2013 na Simba SC ya Dar es Salaam mwaka 2015. Baada ya hapo alirejea kwao, Serbia kabla ya kwenda Hungary kufundisha timu ya BFC Siófok katí ya 2015 na 2017 na Salavan ya Urusi hadi mwaka jana na sasa anarejea Tanzania kwa awamu ya pili.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment