• HABARI MPYA

    Tuesday, July 18, 2023

    KUNDI LINGINE LA WACHEZAJI SIMBA LAWASILI KAMBINI UTURUKI


    WACHEZAJI kutoka Cameroon, beki Che Malone Fondoh, mshambuliaji Willy Essomba Onana na mshambuliaji Mkongo Jean Othos Baleke pamoja na Mtaalamu wa Tiba ya Viungo, Wycliff Omom wamewasili kwenye kambi ya Simba SC mjini Ankara nchini Uturuki usiku wa Jumatatu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KUNDI LINGINE LA WACHEZAJI SIMBA LAWASILI KAMBINI UTURUKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top