• HABARI MPYA

    Wednesday, July 19, 2023

    AZAM FC YACHAPWA 3-0 NA ESPERANCE MECHI YA KIRAFIKI LEO TUNISIA


    TIMU ya Azam FC imechapwa Mabao 3-0 na wenyeji, Esperance katika mchezo wa kirafiki leo kwenye kambi yao ya kujiandaa na msimu mpya nchini Tunisia.
    Mechi ya kwanza ya kujipima nguvu Ijumaa iliyopita, Azam FC iliibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Al Hilal ya Sudan Jijini Tunis.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YACHAPWA 3-0 NA ESPERANCE MECHI YA KIRAFIKI LEO TUNISIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top