• HABARI MPYA

    Tuesday, August 02, 2022

    BONDIA MTANZANIA AINGIA ROBO FAINALI MADOLA


    BONDIA Mtanzania, Yusuph Changalawe ametinga robo fainali ngumi za ridhaa uzito wa Light Heavy (kg 75-80) katika Michezo ya Jumuiya ya Madola inayoendelea Jijini   Birmingham baada ya kumshinda kwa pointi Curlin Richardson wa Visiwa vya Anguila usiku wa Jumatatu.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BONDIA MTANZANIA AINGIA ROBO FAINALI MADOLA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top