Mshambulaji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Inter Milan bao la pili dakika ya 21 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa mkondo mmoja wa Robo Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Merkur Spiel-Arena Jijini Dusseldorf, Ujerumani. Bao la kwanza la Inter Milan lilifungwa na Nicolo Barella dakika ya 15, wakati la Bayer Leverkusen lilifungwa na Kai Havertz dakika ya 24 na sasa kikosi cha Antonio Conte kitakutana na mshindi kati ya Shakhtar Donetsk na Basel zinazomenyana leo katika Nusu Fainali Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL GM Confused by Falcons' Michael Penix Jr. Draft Pick, Says Team Has
'Needs Now'
-
Most head coaches and general managers spoken to by The Athletic's Dianna
Russini believe the Atlanta Falcons' No. 8 pick of quarterback Michael
Penix Jr. ...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment