Mkurugenzi wa Uwekezaji wa kampuni ya GSM, Mhandisi Hersi Said (kulia) ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga SC akiwa na kiungo wa ulinzi, Mukoko Tonombe baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili leo kujiunga na klabu hiyo leo kwao, Jijini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akitokea AS Vita ya huko
Mhandisi Hersi Said (katikati) akiwa na Mukoko Tonombe (kushoto) na winga wa kulia, Tuisila Kisinda (kulia) ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na Yanga leo kutoka AS Vita ya Kinshasa
Tim Tszyu is left stunned by his giant opponent's 's**t' act just before
their world title fight: 'Professionals don't do that'
-
The Aussie will be giving away an amazing 23cm in height to his 197cm
rival, not to mention a huge reach advantage. But a detail in the
American's preparat...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment