• HABARI MPYA

    Monday, August 17, 2020

    YANGA SC YASAJILI WAKALI WAWILI WA AS VITA, KIUNGO TONOMBE MUKOKO NA WINGA TUISILA KISINDA

    Mkurugenzi wa Uwekezaji wa kampuni ya GSM, Mhandisi Hersi Said (kulia) ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga SC akiwa na kiungo wa ulinzi, Mukoko Tonombe baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili leo kujiunga na klabu hiyo leo kwao, Jijini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akitokea AS Vita ya huko 
    Mhandisi Hersi Said (katikati) akiwa na Mukoko Tonombe (kushoto) na winga wa kulia, Tuisila Kisinda (kulia) ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na Yanga leo kutoka AS Vita ya Kinshasa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC YASAJILI WAKALI WAWILI WA AS VITA, KIUNGO TONOMBE MUKOKO NA WINGA TUISILA KISINDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top