Romelu Lukaku na Lautaro Martinez wakishangilia pamoja baada ya kila mmoja kufunga mabao mawili katika ushindi wa 5-0 wa Inter Milan dhidi ya Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya UEFA Europa League usiku wa Jumatatu Uwanja wa Merkur Spiel-Arena, Jijini Dusseldorf nchini Ujerumani. Martinez alifunga dakika za 19 na 74 na Lukaku dakika za 78 na 83, wakati bao lingine limefungwa na Danilo D'Ambrosio dakika ya 64 na sasa Inter Milan itakutana na Sevilla katika Fainali Ijumaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League forced to move clash between Tottenham and Nottingham Forest
at 10 DAYS' notice due to train and tube strikes... as next weekend's game
is brought forward 24 hours to unusual kick-off time
-
In a statement, they said: 'The Premier League apologises unreservedly to
supporters of both Clubs, and all those affected, for the inconvenience and
disru...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment