• HABARI MPYA

    Tuesday, August 18, 2020

    INTER MILAN YAUA 5-0 NA KUTINGA FAINALI EUROPA LEAGUE

    Romelu Lukaku na Lautaro Martinez wakishangilia pamoja baada ya kila mmoja kufunga mabao mawili katika ushindi wa 5-0 wa Inter Milan dhidi ya Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya UEFA Europa League usiku wa Jumatatu Uwanja wa Merkur Spiel-Arena, Jijini Dusseldorf nchini Ujerumani. Martinez alifunga dakika za 19 na 74 na Lukaku dakika za 78 na 83, wakati bao lingine limefungwa na Danilo D'Ambrosio dakika ya 64 na sasa Inter Milan itakutana na Sevilla katika Fainali Ijumaa 
      
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: INTER MILAN YAUA 5-0 NA KUTINGA FAINALI EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top