Romelu Lukaku na Lautaro Martinez wakishangilia pamoja baada ya kila mmoja kufunga mabao mawili katika ushindi wa 5-0 wa Inter Milan dhidi ya Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya UEFA Europa League usiku wa Jumatatu Uwanja wa Merkur Spiel-Arena, Jijini Dusseldorf nchini Ujerumani. Martinez alifunga dakika za 19 na 74 na Lukaku dakika za 78 na 83, wakati bao lingine limefungwa na Danilo D'Ambrosio dakika ya 64 na sasa Inter Milan itakutana na Sevilla katika Fainali Ijumaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mich. Man’s ‘Employment Ended’ with American Heart Association the Same
Month He Killed Wife and 6 Children in Murder-Suicide
-
“As an organization with professional staff who are dedicated to helping
others, we are devastated by the news out of Grand Haven, and our thoughts
are wit...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment