• HABARI MPYA

    Wednesday, August 19, 2020

    HII NDIYO KAZI ANAYOIFANYA KIJANA HIMID MAO MKAMI KWENYE LIGI KUU YA MISRI WATU WANAKAA TU

    KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Himid Mao Mkami 'Ninja' (kushoto) anayechezea klabu ya ENPPI akimtoka kiungo wa Smouha SC, Mmisri Ahmed Abdul Sattar Homos katika mchezo wa Ligi Kuu ya Misri juzi Uwanja wa Petrosport Jijini Cairo uliomalizika kwa sare ya bila kufungana  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HII NDIYO KAZI ANAYOIFANYA KIJANA HIMID MAO MKAMI KWENYE LIGI KUU YA MISRI WATU WANAKAA TU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top