• HABARI MPYA

    Saturday, August 29, 2020

    RALLY BWALYA NA MAFUNDI WENGINE MAZOEZINI SIMBA SC LEO IKIJIANDAA KUIVAA NAMUNGO FC KESHO ARUSHA

    Kiungo mpya wa Simba SC, Mzambia Rally Bwalya akifanya vitu vyake kwenye mazoezi ya timu hiyo leo kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii kesho dhidi ya Namungo FC ya Ruangwa mkoani Lindi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha
    Beki Shomari Kapombe akipasua na mpira kwenye mazoezi ya leo ya Simba  
    Charles Ilamfya akiwakokota wachezaji wenzake mazoezini leo Arusha 
    Beki Kennedy Wilson akimiliki mpira katikati ya viungo Clatous Chama (kushoto) na Jonas Mude kushoto 
    Nahodha na mshambuliaji John Bocco akiudhibiti mpira leo mazoezini
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RALLY BWALYA NA MAFUNDI WENGINE MAZOEZINI SIMBA SC LEO IKIJIANDAA KUIVAA NAMUNGO FC KESHO ARUSHA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top