RALLY BWALYA NA MAFUNDI WENGINE MAZOEZINI SIMBA SC LEO IKIJIANDAA KUIVAA NAMUNGO FC KESHO ARUSHA
Kiungo mpya wa Simba SC, Mzambia Rally Bwalya akifanya vitu vyake kwenye mazoezi ya timu hiyo leo kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii kesho dhidi ya Namungo FC ya Ruangwa mkoani Lindi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha
Beki Shomari Kapombe akipasua na mpira kwenye mazoezi ya leo ya Simba
Charles Ilamfya akiwakokota wachezaji wenzake mazoezini leo Arusha
Beki Kennedy Wilson akimiliki mpira katikati ya viungo Clatous Chama (kushoto) na Jonas Mude kushoto
Nahodha na mshambuliaji John Bocco akiudhibiti mpira leo mazoezini
Item Reviewed: RALLY BWALYA NA MAFUNDI WENGINE MAZOEZINI SIMBA SC LEO IKIJIANDAA KUIVAA NAMUNGO FC KESHO ARUSHA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
ALL IN mit Marcel Sabitzer
-
Sechs Torbeteiligungen in den vergangenen drei Partien: Marcel Sabitzer ist
aktuell in bestechender Form. Nun kehrt er mit dem BVB nach Leipzig und
damit a...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment