• HABARI MPYA

    Wednesday, August 26, 2020

    CARLINHOS AANZA MAZOEZI YANGA SC BAADA YA KUSAINI MKATABA

    KIUNGO Carlos Stenio Fernandes Guimaraes do Carmo 'Carlinhos' leo ameanza mazoezi baada ya jana kusaini mkataba wa kujiunga na Yanga SC, saa chache tu tangu awasili Jijini Dar es Salaam kutoka kwao, Angola ambako alikuwa anachezea klabu ya Interclube au Inter ya Luanda.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CARLINHOS AANZA MAZOEZI YANGA SC BAADA YA KUSAINI MKATABA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top