• HABARI MPYA

    Friday, August 21, 2020

    TFF YAZITAKA KLABU ZOTE NCHINI KUWASILISHA NAKALA ZA MIKATABA YA WACHEZAJI WOTE INAYOWASAJILI

    SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limezitaka klabu zote nchini kuwasilisha nakala za mikataba ya wachezaji inayowasajili na kwamba klabu ambayo haitafanya hivyo haitapewa leseni ya kumtumia mchezaji husika.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TFF YAZITAKA KLABU ZOTE NCHINI KUWASILISHA NAKALA ZA MIKATABA YA WACHEZAJI WOTE INAYOWASAJILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top