KOCHA wa timu ya soka ya taifa ya Ufukweni (Beach Soccer) Boniface Pawasa ameteuliwa na Umoja wa Afrika Soka la Ufukweni kwenye Kamati ya Ufundi na Maendeleo ya Vijana.
Katika Kamati hizo pia yumo Jonathan Kasano aliyeteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti Kamati ya Mashindano na Gift Macha Kamati ya Habari na Mawasiliano
Katika Kamati hizo pia yumo Jonathan Kasano aliyeteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti Kamati ya Mashindano na Gift Macha Kamati ya Habari na Mawasiliano
0 comments:
Post a Comment