Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
Beijing urges end to Iran war as China-U.S. trade talks move to Paris
-
Investing.com — Wang Yi, China’s top diplomat, used his annual high-profile
briefing on Sunday to signal that a "landmark" year for U.S.-China
relations re...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment