Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
Australian Grand Prix LIVE: Lap-by-lap updates as the biggest rule changes
in F1 history are put to the test in Melbourne
-
Daily Mail Sport's live blog brings you lap-by-lap updates as the biggest
changes in F1 history are put to the test at the Australian Grand Prix.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment