Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
West Ham vs Liverpool - Premier League: Live score, team news and updates
as Jurgen Klopp's side look to bounce back from damaging derby day defeat
against Europe chasing Hammers
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as West Ham host Liverpool at the London Stadium in Premier League action.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment