Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
Black Queens coach Kim Björkegren names 24-player squad for Côte d'Ivoire
friendlies
-
Black Queens head coach Kim Lars Bjorkegren has announced a 24-player squad
for the upcoming international friendlies against Cote d'Ivoire, scheduled
for ...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment