Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
42.000 Euro Geldstrafe für den BVB
-
Das Sportgericht des Deutschen Fußball-Bundes (DFB) hat Borussia Dortmund
wegen eines unsportlichen Verhaltens seiner Anhänger mit einer Geldstrafe
in Höhe...
Dakika 37 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni