Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
One of Roughly 200: This 1954 Porsche 356 Pre-A Speedster Is the Real,
Race-Bred Article
-
One of roughly 200 built in 1954, this documented, race-bred Porsche 356
Pre-A Speedster is up for auction on Hagerty Marketplace.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment