Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
Morocco in the AFCON final: what do the numbers say?
-
Morocco's record in the AFCON finalMorocco/@CAFMorocco will face Senegal on
Sunday, January 18, in the final of the Africa Cup of Nations (AFCON
2025).The ...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment