Kipa wa Manchester United, David de Gea akiruka bila mafanikio kujaribu kuokoa mchomo wa Luuk de Jong ulioipatia bao la ushindi Sevilla dakika ya 78 katika mchezo wa Nusu Fainali ya UEFA Europa League usiku wa Jumapili Uwanja wa RheinEnergie Jijini Cologne, Ujerumani. Man United walitangulia kwa bao la penalti la Bruno Fernandes dakika ya tisa kabla ya Suso kuisawazishia Sevilla dakika ya 26 na sasa itakutana na mshindi kati ya Inter Milan na Shakhtar Donetsk zinazomenyana kesho katika Fainali Agosti 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
5 days ago



.png)
0 comments:
Post a Comment