MHANDISI HERSI SAID ALIVYOPOKEWA LEO UWANJA WA NDEGE BAADA YA KUWASILI NA WACHEZAJI WAPYA, MUKOKO NA KISINDA
Mashabiki wa Yanga SC wakiwa wamembeba Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Kampuni ya GSM, Mhandisi Hersi Said kwenye kiti cha Kifalme baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kutoka Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akiwa na wachezaji wawili, kiungo Tonombe Mukoko na winga Tusila Kisinda wa AS Vita ya huko ambao wote wamejiunga na Yanga SC
Item Reviewed: MHANDISI HERSI SAID ALIVYOPOKEWA LEO UWANJA WA NDEGE BAADA YA KUWASILI NA WACHEZAJI WAPYA, MUKOKO NA KISINDA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni