Serge Gnabry (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 18 na 33 to kabla ya Robert Lewandowski (katikati) kufunga la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa 3-0 wa Bayern Munch dhidi ya Olympique Lyon kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade Jijini Lisbon, Ureno na sasa watakutana na Paris Saint-Germain katika fainali Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal wonderboy Max Dowman, 16, faces being LEFT OUT of their Premier
League title charge to focus on his GCSEs - despite his record-breaking
goal, claims Wayne Rooney
-
Dowman, 16, stole the headlines on Saturday after he led the Gunners to a
crucial 2-0 win over Everton to send Mikel Arteta's side nine points clear
of Man...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment