• HABARI MPYA

    Saturday, August 15, 2020

    SIMBA SC YASAJILI BEKI WA KULIA WA LIPULI FC YA IRINGA ILIYOSHUKA DARAJA LIGI KUU

    KOCHA Msaidizi wa Simba SC, Suleiman Matola (kushoto) akimkabidhi nakala ya mkataba beki wa kulia, David Kameta baada ya kujiunga na timu hiyo kutoka Lipuli FC ya Iringa iliyoshuka Daraja 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YASAJILI BEKI WA KULIA WA LIPULI FC YA IRINGA ILIYOSHUKA DARAJA LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top