• HABARI MPYA

    Sunday, August 23, 2020

    POVETKIN AMTWANGA DILLIAN WHYTE KWA KO RAUNDI YA TANO

    Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: POVETKIN AMTWANGA DILLIAN WHYTE KWA KO RAUNDI YA TANO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top