Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal wonderboy Max Dowman, 16, faces being LEFT OUT of their Premier
League title charge to focus on his GCSEs - despite his record-breaking
goal, claims Wayne Rooney
-
Dowman, 16, stole the headlines on Saturday after he led the Gunners to a
crucial 2-0 win over Everton to send Mikel Arteta's side nine points clear
of Man...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment