Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Journalist dreams & Keane reunion? How O'Neill continues to revive Celtic
-
Showman Martin O'Neill continues to thrive as Celtic's interim manager as
he guides the club through to the Europa League play-off round.
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment