Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC apprehends eight for alleged internet fraud
-
The Economic and Financial Crimes Commission (EFCC) has apprehended eight
suspected internet fraudsters. The suspects are Samson Olujobi, 28 (a.k.a
Mau R...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment