Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Vardy's wife Rebekah posts four-word congratulatory message after
Leicester secured promotion... as she joins husband on FaceTime call with
Premier League legend
-
Jamie Vardy and his wife Rebekah shared a celebratory facetime call with a
Premier League icon on Friday evening after Leicester's promotion back to
the Pr...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment