Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
French Open 2022 Results: Medvedev Win, Shapovalov Upset Highlight Tuesday Results
-
The first round of the 2022 French Open is scheduled to wrap up Tuesday at
Stade Roland Garros in Paris. Daniil Medvedev headlined the action in the
men's...
Dakika 3 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni