Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tinubu’s second term campaigners and the rest of us
-
On Monday, April 13, governors on the platform of the Peoples Democratic
Party (PDP) met in Ibadan, the Oyo State capital. Among the governors at
the mee...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment