Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool lodge complaint over Man City ticket allocation for Etihad clash
-
Earlier this month Sportsmail revealed that, following a number of
instances of disorder at recent games between the two sides, City had been
told to cut t...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment