Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Madibo given five-game ban for causing Kone leg break
-
Qatar midfielder Assim Madibo is given a five-match ban for the challenge
which resulted in a broken leg for Canada's Ismael Kone.
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment