• HABARI MPYA

    Sunday, August 23, 2020

    YANGA SC KUCHEZA NA KLABU KUBWA AFRIKA KWENYE KILELE CHA WIKI YA MWANANCHI AGOSTI 30 UWANJA WA MKAPA

    VIGOGO wa soka nchini, Yanga SC wamesema watacheza na moja ya klabu kubwa barani Afrika kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi Agosti 30, mwaka huu Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC KUCHEZA NA KLABU KUBWA AFRIKA KWENYE KILELE CHA WIKI YA MWANANCHI AGOSTI 30 UWANJA WA MKAPA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top