Wachezaji wa Sevilla ya Hispania wakishangilia na taji la Europa League kwa mara nyingine tena baada ya kuifunga Inter Milan ya Italia mabao 3-2 kwenye fainali usiku wa jana Uwanja wa RheinEnergie Jijini Cologne, Ujerumani. Mabao ya Sevilla inayobeba taji la sita sasa yalifungwa na Luuk de Jong mawili dakika ya 12 na 33 na Romelu Lukaku aliyejifunga dakika ya 74 wakati ya Inter Milan yalifungwa na Lukaku kwa penalti dakika ya tano na Diego Godin dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mich. Man’s ‘Employment Ended’ with American Heart Association the Same
Month He Killed Wife and 6 Children in Murder-Suicide
-
“As an organization with professional staff who are dedicated to helping
others, we are devastated by the news out of Grand Haven, and our thoughts
are wit...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment