Wachezaji wa Sevilla ya Hispania wakishangilia na taji la Europa League kwa mara nyingine tena baada ya kuifunga Inter Milan ya Italia mabao 3-2 kwenye fainali usiku wa jana Uwanja wa RheinEnergie Jijini Cologne, Ujerumani. Mabao ya Sevilla inayobeba taji la sita sasa yalifungwa na Luuk de Jong mawili dakika ya 12 na 33 na Romelu Lukaku aliyejifunga dakika ya 74 wakati ya Inter Milan yalifungwa na Lukaku kwa penalti dakika ya tano na Diego Godin dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beijing urges end to Iran war as China-U.S. trade talks move to Paris
-
Investing.com — Wang Yi, China’s top diplomat, used his annual high-profile
briefing on Sunday to signal that a "landmark" year for U.S.-China
relations re...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment