Wachezaji wa Sevilla ya Hispania wakishangilia na taji la Europa League kwa mara nyingine tena baada ya kuifunga Inter Milan ya Italia mabao 3-2 kwenye fainali usiku wa jana Uwanja wa RheinEnergie Jijini Cologne, Ujerumani. Mabao ya Sevilla inayobeba taji la sita sasa yalifungwa na Luuk de Jong mawili dakika ya 12 na 33 na Romelu Lukaku aliyejifunga dakika ya 74 wakati ya Inter Milan yalifungwa na Lukaku kwa penalti dakika ya tano na Diego Godin dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua may NEVER fight again, admits Eddie Hearn - as promoter
gives update on boxer's condition after crash that killed two of his best
friends
-
Joshua narrowly avoided death after changing seats before the vehicle set
off on its journey. He spent New Year in hospital before jetting home to
his mans...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment