Wachezaji wa Sevilla ya Hispania wakishangilia na taji la Europa League kwa mara nyingine tena baada ya kuifunga Inter Milan ya Italia mabao 3-2 kwenye fainali usiku wa jana Uwanja wa RheinEnergie Jijini Cologne, Ujerumani. Mabao ya Sevilla inayobeba taji la sita sasa yalifungwa na Luuk de Jong mawili dakika ya 12 na 33 na Romelu Lukaku aliyejifunga dakika ya 74 wakati ya Inter Milan yalifungwa na Lukaku kwa penalti dakika ya tano na Diego Godin dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie NBA phenomenon Josh Giddey gets RIPPED OFF as he's snubbed by NBA All-Rookie team
-
He broke a record once held by LeBron James and became the first rookie to
notch three straight triple-doubles for 60 years, but that wasn't good
enough fo...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni