• HABARI MPYA

    Saturday, August 29, 2020

    ARSENAL WAICHAPA LIVERPOOL KWA MATUTA NA KUBEBA NGAO

    Wachezaji wa Arsenal wakishangilia na Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa penalti 5-4 dhidi ya Liverpool jioni ya leo Uwanja wa Wembley Jijini London.
    Arsenal ilitangulia kwa bao la Nahodha wake, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 12 kabla Takumi Minamino kuisawazishia Liverpool dakika ya 73. Waliofunga penalti za Arsenal ni Reiss Nelson, Ainsley Maitland-Niles, Cedric Soares, David Luiz na Aubameyang na za Liverpool walifunga Mohamed Salah, Fabinho,  Minamino na Curtis Jones,wakati Rhian Brewster alikosa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL WAICHAPA LIVERPOOL KWA MATUTA NA KUBEBA NGAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top