Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Jamal Bayser (kushoto) akimkabidhi kiungo Baraka Gamba Majogoro (katikati) nakala za mkataba baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro. Kulia ni Meneja wa mchezaji huyo, Peter Simon na huyo anakuwa mchezaji wa pili mpya kusajiliwa Mtibwa Sugar baada ya kiungo mwingine, Abal Kassim Khamis kutoka Azam FC kwa mkopo
Ifako Ijaiye, Igando Ikotun Kicks Off 3rd FFF U-17 Unity Cup Tourney
-
The stage is now set for the commencement of the 3rd edition of the Fans
For Fun (FFF) Under 17 Unity Cup football Tourney among Local Governments
and Lo...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment