Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Jamal Bayser (kushoto) akimkabidhi kiungo Baraka Gamba Majogoro (katikati) nakala za mkataba baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro. Kulia ni Meneja wa mchezaji huyo, Peter Simon na huyo anakuwa mchezaji wa pili mpya kusajiliwa Mtibwa Sugar baada ya kiungo mwingine, Abal Kassim Khamis kutoka Azam FC kwa mkopo
Australian Grand Prix LIVE: Lap-by-lap updates as the biggest rule changes
in F1 history are put to the test in Melbourne
-
Daily Mail Sport's live blog brings you lap-by-lap updates as the biggest
changes in F1 history are put to the test at the Australian Grand Prix.
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment