Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Jamal Bayser (kushoto) akimkabidhi kiungo Baraka Gamba Majogoro (katikati) nakala za mkataba baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro. Kulia ni Meneja wa mchezaji huyo, Peter Simon na huyo anakuwa mchezaji wa pili mpya kusajiliwa Mtibwa Sugar baada ya kiungo mwingine, Abal Kassim Khamis kutoka Azam FC kwa mkopo
Vikings GM Explains Strategy for J.J. McCarthy's Development After Kirk
Cousins Exit
-
The Minnesota Vikings selected Michigan quarterback J.J. McCarthy with the
No. 10 overall pick in the 2024 NFL draft on Thursday, and despite their
desperate…
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment