Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Jamal Bayser (kushoto) akimkabidhi kiungo Baraka Gamba Majogoro (katikati) nakala za mkataba baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro. Kulia ni Meneja wa mchezaji huyo, Peter Simon na huyo anakuwa mchezaji wa pili mpya kusajiliwa Mtibwa Sugar baada ya kiungo mwingine, Abal Kassim Khamis kutoka Azam FC kwa mkopo
Tommy Robinson meets Elon Musk’s father: ‘We’re going to cause some trouble’
-
Tommy Robinson met Elon Musk’s father in Moscow and posted a video of them
joking that they were “going to cause some trouble”.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment