Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Jamal Bayser (kushoto) akimkabidhi kiungo Baraka Gamba Majogoro (katikati) nakala za mkataba baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro. Kulia ni Meneja wa mchezaji huyo, Peter Simon na huyo anakuwa mchezaji wa pili mpya kusajiliwa Mtibwa Sugar baada ya kiungo mwingine, Abal Kassim Khamis kutoka Azam FC kwa mkopo
Mich. Man’s ‘Employment Ended’ with American Heart Association the Same
Month He Killed Wife and 6 Children in Murder-Suicide
-
“As an organization with professional staff who are dedicated to helping
others, we are devastated by the news out of Grand Haven, and our thoughts
are wit...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment