Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Jamal Bayser (kushoto) akimkabidhi kiungo Baraka Gamba Majogoro (katikati) nakala za mkataba baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro. Kulia ni Meneja wa mchezaji huyo, Peter Simon na huyo anakuwa mchezaji wa pili mpya kusajiliwa Mtibwa Sugar baada ya kiungo mwingine, Abal Kassim Khamis kutoka Azam FC kwa mkopo
Kendra Scott is using AI to support the 3 pillars of its employees: CEO
-
Kendra Scott CEO Chris Blakeslee sits down with Josh Lipton on Market
Domination Overtime to discuss the fashion brand's optimization problems
that AI is h...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment