• HABARI MPYA

    Friday, August 28, 2020

    MSHAMBULIAJI MPYA MZIMBABAWE AING'ARISHA AZAM FC IKIICHAPA 1-0 KMC MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI

    Mshambuliaji mpya wa Azam FC, Mzimbabwe Prince Dube akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao pekee dakika ya 89 ikiichapa 1-0 KMC katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MSHAMBULIAJI MPYA MZIMBABAWE AING'ARISHA AZAM FC IKIICHAPA 1-0 KMC MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top