KOCHA Pep Guardiola akiondoka kinyonge Uwanja wa Jose Alvalade Jijini Lisbon, Ureno baada ya timu yake kutolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia kipigo cha 3-1 kutoka kwa Lyon ya Ufaransa usiku wa jana katika mchezo wa Robo Fainali. Mabao ya Lyon yamefungwa na Maxwel Cornet dakika ya 24, Moussa Dembele dakika ya 79 na 87, wakati la Manchester City limefungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 69 na sasa kikosi cha Rudi Garcia kitamenyana na Bayern Munich katika Nusu Fainali Jumatano, siku moja baada ya RB Leipzig kucheza na PSG katika Nusu fainali ya kwanza Jumanne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter Reid admits he's 'had a shandy' as Everton hero joins fellow Goodison
Park legends to bid farewell to iconic ground - days after Sky Sports were
forced to apologise after he dropped an F-bomb in pre-recorded message
-
The 1980s title-winning midfielder was interviewed live on TNT Sports from
the pitch just after 11am ahead of Everton's final men's match at the
famous old...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment