Kiungo Mmisri, Mohamed Elneny akiifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya tano katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Milton Keynes Dons FC kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa MK (Milton Keynes), Buckinghamshire. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Eddie Nketiah dakika ya 10, Mark McGuinness dakika ya 76 na Reiss Nelson kwa penalti dakika ya 85, wakati bao pekee la MK Dons lilifungwa na Rob Holding aliyejifunga dakika ya 32 na sasa kikosi cha Mikel Arteta kitaivaa Liverpool Jumamosi katika mechi ya Ngao ya Jamii PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Designer Brands Inc (DBI) Q1 2026 Earnings Call Highlights: Strong Brand
Portfolio Growth and ...
-
Designer Brands Inc (DBI) reports a significant turnaround with increased
sales, improved gross margins, and a robust brand portfolio performance in
Q1 2026.
34 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment